BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HEKIMA ZA NGWEA ALIPINGA USHOGA, SIKIA BUSARA ZAKE, WANAUME MASHOGA WANATUPUNGUZIA USHINDANI WA KUPATA MADEMU.

  ngweabc 

MSANII ALBERT MANGWEA.

 
HII ILIKUWA SEPTEMBA 14/ 2012.

RAPA wa East Zoo, Albert Mangwea amesema ongezeko la mashoga wengi nchini halimuumizi kichwa kwakuwa linampunguzia ushindani wa kuwa na made
mu wakali.

Akiongea na Power Jams ya East Africa Radio mwaka jana Septemba 14 alisema kuwa anashangaa jinsi mwanaume anavyoamua kuukaata uanaume wake na kuwa kama mwanamke.

“Angalia mila zetu za kiafrika, ukiangalia dini hazikubali kwamba mtoto wa kiume awe gay, hiyo tunajua yaani, common sense yenyewe hata mtoto mdogo si vitu vya kuelekezana lakini kuna watu wametokea sijui kama ni hulka au nini ambao huwezi kuwabadilisha pia huwezi kumurder mtu.
NGWEA AKIWA KATIKA POZI, ENZI ZA UHAI WAKE. 
Picha hii iliwekwa katika mtandao baada ya kifo cha Baba mzazi wa Albert Mangwea aliyefariki dunia  27 Desemba 2009.
 
Watu wamekuwa wako hivyo, ukiangalia mila za kiafrika hadi akina mswati machief wetu walikuwa na mke zaidi ya mmoja, waislamu wanafanya hivyo, yaani wanawake wako wengi kwaajili ya wanaume sasa wanaume wengine wanapoamua kuwa kama wenyewe, wanapunguza mchuano, watoto wazuri wanatuachia tu.


Kwahiyo mimi naona kama wao wamekataa kuwa wanaume, alisema Ngwair.”

Hata hivyo alisema kuwa watu wasimwelewe vibaya kuwa anaunga mkono ushoga kutokana na kauli yake.


“Sio kama naunga mkono lakini pia sababu wenyewe wameukataa uanaume wao mimi naona poa tu kwakuwa wanatuachia watoto wazuri wengi tu.”


“How comes yaani mtoto wa kiume anakuwa gay. Mambo ya kuigaiga western huko. 
Western kitu cha kawaida. Lil Wayne alishaulizwa bana wewe ukipata mtoto wa kiume utajisikia vipi? Akasema nikipata mtoto wa kiume sitajua kama mtoto wa kiume, ntasubiri mpaka akue ndo nijue.”

Picture of MangweaALBERT MANGWEA KATIKA SHOW MWAKA 2011 JAMHURI MOROGORO.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjH8K5TB3_s4xdLzfsZKQFeTXR7ODR5J4OR2sRgW1XIGgvn0kDsHqMNpkNAXrjBGqCd76hp7nQoofD5nu8NYW4iMPU_mKJFPnWBdNiZnn96H3WxCmotFT-i37JEcH2GgUPwMcOkWqd5-VI5/s400/ngwea3.JPGJULY 28/ 2009.
 
Albert Mangwea a.k.a Ngwair na Haji Malick Noorah a.ka Noorah April 1 mwaka 2009.
 
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Albert Mangwea ‘Ngwea’, akiwa katika pozi. Oktoba 31 mwaka 2011.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: