BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA UZOAJI TAKANGUMU MANISPAA YA MOROGORO HII HAPA.


  WAFANYAKAZI WA MANIS
PAA YA MROGORO.
 
HII ni taswira ya wafanyakazi wa kufanya usafi katika Manispaa ya Morogoro wakiwajibika ili kuhakikisha Manispaa hiyo inakuwa safi muda wote. Picha ya juu ni wafanyakazi wa halmashauri ya Manispaa hiyo wakati chini ni kikundi cha wazoa takangumu kata ya Kingo nao wakiwajibika kwa kukusanya taka hizo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: