BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI VITONGA WILAYA YA MVOMERO-MOROGORO

 WANAFUNZI wa shule ya msingi Vitonga iliyopo kata ya Mlali wilaya ya Mvomero wakiwa wamekusanyika msatarini wakati wakimsubiri mwalimu wa zamu ili kuwapa maelekezo kabla ya kuwaruhusu ili kwenda nyumb
ani baada ya kumalizika kwa masomo ya kutwa ambapo shule nyingi zilizopo pembezoni mwa mijini zimekuwa zikabiliwa na changamoto mbalimbali mkoani Morogoro.
PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 
HAPA mwanafunzi huyu akielekea mstari kwa ajili ya kupata maelekezo shuleni hapo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: