BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ULINZI WAIMARISHWA MAHAKAMANI KATIKA HUKUMU YA SHEIKH PONDA LEO

Hukumu ya  Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda  inatarajiwa kutolewa leo katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam ampapo ulinzi mkali umeimarishwa.(Picha na Audiface Jackson)
Ulinzi iliimarishwa katika kila kona ya Mahakama ya Kisutu na huyu ni mfuasi aliyekuwa anataka kuleta vurugu mahakani hapo
Askari wakiwa katika barabara ya Bibi Titi 
Kuimarisha ulinzi Mahakamani
Mwanamke akizungumza na maasikari waliokuwa wanalinda mahakamani leo
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda 
Ulinzi Mkali
 Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa wameimarisha ulinzi katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: