BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BALOZI WA TANZANIA AFRIKA KUSINI AFIKA MSIBANI KWA BABA MDOGO WA MANGWEHA JIJINI DAR ES SALAAM.


Balozi Msuya akimpa mkono wa pole mama mdogo wa Marehemu Mang
weha, Ella MangwehaBalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Radhia Msuya, akiweka saini katika kitabu cha maombelezo nyumbani kwa baba mdogo wa Marehemu Mangweha Mbezi Beach jijini Dar leo.
Balozi Msuya akibadilishana mawazo na mama mdogo wa marehemu.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa baba mdogo wa marehemu.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi Adam Juma (aliyesimama) akisalimiana na balozi Msuya.
Balozi Msuya (katikati) akibadilishana mawazo na baba mdogo wa marehemu David Mangweha (kulia) na mama mdogo Ella (kushoto). (PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: