
bo Mkenya mwenye mkwanja mrefu Huddah Monroe ambae aliwashangaza wengi baada ya kupungua mwili kwa haraka na mwisho wa siku tetesi zikasambaa kuwa anavirusi vya ukimwi .
Huddah ambae alikuwa mmoja kati ya washiriki wa Big Brother Africa mwaka huu amekanusha tetesi hizo na kusema kuwa kupungua uzito kulitokana na matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Cocain pamoja na aina nyingine ya madawa ya kulevya yenye nguvu kali.
Mrembo huyo amefunguka katika interview aliyofanya na Ghetto
Radio ya nchini Kenya ambapo alifafanua kuwa kuna wakati alikuwa na stress
nyingi na aliamua kutumia madawa ya kulevya kuziondoa, lakini sasa hivi ameacha
kabisa.
Huddah Monroe akiwa na watangazaji wa Ghetto Radio
Hivi karibuni Huddah alifunguka kupitia akaunti mtandao wa
Twitter kuwa aliacha kutumia madawa ya kulevya ikiwa ni pamoja na kuvuta bangi, na
kwamba sasa hivi hata kilevi hatumii.
CHANZO http://www.bongo5.com

0 comments:
Post a Comment