
"Kitu alichokifanya mchunagaji huyu ni
kibaya sana na mtu kama yeye hatakiwi kabisa kuwa sehemu ya kanisa kwa
sasa, kwasababu kile alichokifanya ni kinyume kabisa na maadili ya
UKRISTO.
Kuna baadhi ya watu wenye hasira kali
walitaka kumpiga lakini bahati nzuri wazee wa kanisa waliwazuia
"..alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo aliyeonekana kuchukizwa na
kitendo cha mchungaji huyo.
Wahubiri katika kanisa hilo walivujisha kuwa katika kanisa hilo kuna kiongozi mkubwa ambaye ana tabia ya kulala na wake za watu na alipokuja kuulizwa kuhusiana na hilo mchungaji huyo alikuwa na haya ya kusema.
"Najisikia
vibaya sana na ningependa kuomba msamaha kwa hili nililolifanya na kama
nikipewa nafasi nyingine naahidi kutorudia tena.
Vile vile nakubaliana
na maamuzi ya wazee wa kanisa kuamua kunivua wadhifa wangu mtukufu"...
alimalizia mchungaji huyo ambaye alionekana kuwa na majonzi ya kutosha.

0 comments:
Post a Comment