BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MHE NYAU AKABIDHI MADAWATI SHULE YA MSINGI MAFISA B MORO.

Diwani wa kata ya Mwembesongo Manispaa ya Morogoro, Ally Kalungwana (NYAU) kushoto akimkabidhi moja ya madawati 15 wanafunzi wa darasa la pili Mafisa B, Jesca Gilbert (7) kulia na Idrissa Bakari (7) baada ya baraza la maendeleo la kata Mwembesongo kuvuna miti iliyok
omaa na kutengeneza madawati kwa lengo la kupunguza upungufu wa madawatu kwa shule za kata ambayo ina upungufu wa jumla ya madawati 540 kwa shule tano za kata hiyo mkoani Morogoro. 
PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 
 Hapa Diwani Kalungwana wa pili kutoka kulia akikagua madawati hayo huku akiongozwa na mkuu wa shukle hiyo Juma Sefu.
Mhe Diwani Ally Kalungwana (NYAU) akiwa kwenye picha ya pamoja na walimu na viongozi wa kata ya Mweembesongo mara baada ya kukabidhi madawati hayo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: