BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MTOTO WA MKULIMA MIZENGO PINDA AWAJULIA HALI WABUNGE WA CHADEMA NASARI, NAMELOK HOSPITALINI ARUSHA.

IMG_1435Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari ambaye amelazwa katika hospitali ya Serian Arusha anakotibiwa  kwa madai ya kushambuliwa na wananchi eneo la Makuyuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_1416Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole  Mbunge wa Viti Maalum, Namelok Sokoinine  aliyelazwa kwenye hospitali ya Serian Arusha baada ya kuvunjika mguu  akiwa nyumbani kwake. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: