Msanii Kala Jeremuih akipokea Tuzo usiku wa Jumamosi, Mlimani City.Msanii
huyo leo amesema kuwa ameamua kumuenzi marehemu Ngwair kwa kwenda
kukabidhi Tuzo moja kwa mama yake Ngwair.
ALBERT MANGWEA.
"MIMI
KAMA MSANII BORA WA HIP HOP KWA MWAKA HUU NAPENDA KUCHUKUA MU
DA HUU KUWATANGAZIA WATU WOTE KUWA.
DA HUU KUWATANGAZIA WATU WOTE KUWA.
KATIKA TUZO TATU NILIZOCHUKUA MOJA
NAIKABIDHI KWA ALBERT MANGWEHA.YANI NI TUZO YA MANGWEA NA NITAIPELEKA KWA
MAMA MZAZI WA MANGWEA MOROGORO.
0 comments:
Post a Comment