BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BARACK OBAMA RAIS WA TANZANIA, ANGALIA KWA MAKINI CHINI YA PICHA YA OBAMA.

 
Moja ya kituo cha luninga kikiwa kimeandika kuwa Rais wa Mareni Barack Obama ni Rais wa Tanzania, kosa hilo lilifan
yika wakati Obama akiongea na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kuwasili nchini kitokea Afrika ya Kussini katika ziara ya nchi tatu za afrika ikiwemo Senegal, Afrika ya Kusini na Tanzania ambapo leo amejerea nchini Marekani.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: