Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa akimsukumia makonde mazito mfululizi bondia Ekkalak Saenchan wa Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni mwa wiki iliyopitaBondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake baada ya kumtwanga Ekkalak Saenchan wa Thailand kwa KO raundi ya kwanza
PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia
akimsikilizia mpinzani wake baada ya kumtwanga kumi nzito na kuhesabilwa
wakati wa mpambano wake ata hivyo mpinzani wake akuendelea na
kufanikiwa kupata ushindi wa K,O ya raundi ya kwanza.
0 comments:
Post a Comment