Wasanii wa kikundi cha "MJOMBA" wakifanya vitu vyao kwenye sherehe hizo |
Baadhi ya akina mama waliohudhuria sherehe hizo wakiwa na nakala ya rasimu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano 2013, ambayo walijadili vipengele kadhaa vinavyohusu haki za mwanamke |
Wasanii wa kikundi cha MJOMBA, wakitumbuiza kwa ngoma |
Sehemu ya akina mama waliohudhuria sherehe hizo mmoja akiwa na mwanaye |
Ili kuonyesha majukumu mengi yanayomkabili mwanamke, mama huyu akiwa amembeba mtoto wa miezi mitatu na nusu, Najim Fadhil. Mama huyu hakupenda kupitwa na sherehe hizo |
0 comments:
Post a Comment