BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JIMBO LA WAZIRI MULUGO KUWA MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA WA SONGWE.

  Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo
MKOA wa Mbeya umepitisha mapendekezo ya mkoa mpya ambao makao yake makuu yatakuwa katika eneo la Mkwajuni ambako ndiko liliko jimbo la Naibu Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philip Mullugo.

Mapendekezo hayo yamepitishwa leo katika kikao cha RCC kilichoketi katika ukumbi wa mikutano wa Mkapa Jijini Mbeya.

Jina la mkoa huo limependekezwa kuwa uitwe mkoa wa Songwe.
Chanzo www.kalulunga.blogspot.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: