BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SPACIO LAPATA AJALI MBAYA ENEO YA MGAGAO SAME.


Nikiwa barabarani kurudi Arusha Juzi, nilikutana na ajali hii, iliotokea maeneo ya Mgagao ,kilomita chache toka Same,Mkoani Kilimanjaro. Sababu za ajali hii inasadikiwa kuwa ni mwendo kasiupepo mkali na Kupasuka kwa Tairimoja lililosababisha dereva wa gari hilo kushindwa kulimudu gari, dereva wa gari hilo pamoja na majer
uhi kadhaa walikimbizwa katika hospitali ya Same. mmoja wao ni huyo mwenye tisheti ya Kijani ambae alipata majeraha madogo madogo miguuni na usoni.Nikiwa barabarani kurudi Arusha Juzi, nilikutana na ajali hii, iliotokea maeneo ya Mgagao ,kilomita chache toka Same,Mkoani Kilimanjaro. Sababu za ajali hii inasadikiwa kuwa ni mwendo kasiupepo mkali na Kupasuka kwa Tairimoja lililosababisha dereva wa gari hilo kushindwa kulimudu gari, dereva wa gari hilo pamoja na majeruhi kadhaa walikimbizwa katika hospitali ya Same. mmoja wao ni huyo mwenye tisheti ya Kijani ambae alipata majeraha madogo madogo miguuni na usoni.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: