BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SUMRY KUTOKA SUMBAWANGA KWENDA MBEYA LAPATA AJALI.

Abiria waliokuwa wanasafiri kwa basi la Sumry kutoka Sumbawanga kwenda Mbeya jana walinusurika kifo baada ya basi hilo kuacha njia katika maeneo ya kijiji cha Tamasenga Sumbawanga.
Kijana Peter Makwaya aliyenusurika katika ajali akiwa amepatiwa matibabu na hali yake inandelea vizuri ,NA KDADDY.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: