BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAZIRI WA UJENZI DK MAGUFULI ABOMOA MAGHORODA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mh. John Magufuli, leo ametekeleza amri yake iliyotolewa kwa wamiliki wa nyumba zilizoko pembezoni mwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi, kwa
mba wabomoe kwa ajili ya kupisha upanuzi wa barabara hiyo. 

Agizo hilo limeanza kwa kubomoa ghorofa la Business Park (Green Acles) lililopo Victoria Jijini Dar Es Salam . chanzo ITV
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: