![]() |
| PICHA YA MAKTABA IKIWAONYESHA MASISTER WA JIMBO KUU LA KANISA KATOLIKI TANGA WAKIWA KATIKA IBADA MKOANI TANGA. |
HABARI nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawa Mkatoliki
ameshambuliwa na kuumizwa vibaya humo katika eneo linalodaiwa kuwa ni jirani kabisa na
alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.


0 comments:
Post a Comment