Sehemu ya Vijana wa Vyuo Vikuu walioshiriki Kongamano la kujadili Rasimu ya Katiba Mpya na Rasilimali za nchi yetu.
Baadhi
ya Mafisa wa Mkoa wa Vyuo Vya Elimu ya Juu CCM wakiwa na mgeni rasmi wa
Kongamano,Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo,katika ukumbi wa
Riverside,Ubungo.
Baadhi
ya washiriki wa Kongamano wakifuatilia kwa makini hotuba ya Profesa
Muhongo alipokuwa akichambua masuala ya gesi na uchumi.
Waandishi
wa Habari kutoka vyombo mbali mbali nchini wakichukua habari za
Kongamano la Kujadili rasimu ya Katiba mpya na rasilimali lililofanyika
katika ukumbi wa Riverside Ubungo, ambalo liliratibiwa na Mkoa wa Vyuo
Vya Elimu ya Juu CCM tarehe 5 Agosti 2013.
0 comments:
Post a Comment