BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HII SASA MBONA NI AIBU JAMANI, KILICHOBAKIA NI KUTEMBEA MTUPU ILI KUONGEZA UMAARUFU.

Mtangazi wa moja ya kituo cha luninga na redio hapa
nchini, Loveness Diva akidaiwa kupiga picha 
zinazomusonyesha maumbile yake ya siri na kaweka katika mtandao jambo ambalo ni aibu hasa kwa mtu kama yeye 
ambaye ni kioo cha jamii ambaye anapaswa kukemea maovu na vitendo vya kuvunja maadili ya mtanzania kupitia taaluma yake.
Loveness Lov
e katika kipindi cha Ala za Roho.


Kupitia  account  yake  ya  instagram, jana  Diva  alitupia  
picha  ya  paja  lake  na  kuwaacha   mashabiki  wake  
wafunguke  kama  paja  lake  ni  zuri  au  baya....
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: