BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JOPO ZIMA LA BLOG YA JAMII: JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM YATOA SALAMA ZA HERI YA EDD EIL FITR 2013.

 
MENEJA JUMA MTANDA. 

JOPO Zima la blog ya jamii JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM ina watakiwa waumini wote wa dini ya kiislam katika kuadhimisha sikukuu tukufu ya Idd Eil Fitry inasher
ehekewa mara baada ya kumalizika kwa funga ya saumu ya mwezi mtukufu wa ramadhani kwa kutekeleza moja ya nguzo tano za dini ya kiislam.

Tusherehekee kwa amani na utulivu na tuendeleze kutenda mema, upendo, umoja na mshikamano wa dhati sanjari na kushirikiana na waumini wa dini nyingine ili mwenyezi mungu aendelee kutupa amani katika taifa letu la Tanzania na kutujalia moyo wa subiri katika kila jambo jema na baya miongoni mwetu.
Amina.


Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: