BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PICHA YA SIKU NA UVUNJAJI WA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI MOROGORO.

Mwendesha pikipiki Manispaa ya Morogoro akiwa anaendesha pikipiki huku akiwa amekumbatia mfuko aliouweka kwenye tenki la mafuta eneo la barabara ya Old Dar es Salaam jambo ambalo ni hatari endapo inaweza kutokea ajali na kushin
dwa kukabiliana nayo wakati akimsafirisha abiria wake kutoka sehemu moja kwenda nyingine mkoani Morogoro. 
PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: