BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WATU SABA WANUSURIKA KIFO BAADA YA NDEGE YA TANZANIAIR KUTUA KWA DHARURA KATIKA ZIWA KUFUATIA INJINI MOJA KUZIMIKA GHAFLA.

NDEGE ndogo ya shirika la Tanzanair iliyokuwa ikitokea Bukoba kwenda Dar Es Salaam imelazimika kutua kwa dharura katika ziwa Manyara baada ya injini yake moja kuzimika ghafla ikiwa angani.

Ndege hiyo ilikuwa na abiria 6 na rubani 1 ambapo wote wamejeruhiwa na kukim
bizwa katika  Hospitali ya Seliani Mijini Arusha kwa matibabu.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: