KONTENA lililokuwa limebeba vitu vya nyumbani, limekamatwa likiwa na bidhaa
nyingi za ajabu kama mafuvu na vitu vingine vya kutisha ambavyo
inasemekana huwa vinatum ika kwenye ibada za dini za kishetani. Mzigo huo
bado unashikiliwa na mamlaka za Kenya na hii hapa audio ya ripoti nzima
pamoja na video ya mzigo wenyewe kama ilivyoripotiwa na Citizen TV. KUONA VIDEO YAKE BOFYA HAPA CHINI.
0 comments:
Post a Comment