BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAFANYABIASHARA WAGOMA KUNUNUA MASHINE ZA TRA MBEYA, MABOMU YAPIGWA, BAADHI YA MADUKA YAFUNGWA.

 
Vijana wakiwa maji katika nyuso zao mara baada ya kupigwa kwa bomu la machozi kuf
uatia kuwepo kwa vurugu zilizosababisha kuchomwa moto kwa magurudumu barabarani.
 
Polisi wakiwa katika ulinzi mkali

Maduka yakiwa yamefungwa



Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yao

Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu

Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote


Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA

Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite

Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.
PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: