BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ABIRIA 50 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA NDEGE NCHINI URUSI.

Mabaki ya ndege aina ya Boeing 737 baada kulipuka. Magari ya kubebea wagonjwa yalionekana eneo la Uwanja wa Ndege jijini KazINI
Magari ya kubebea wagonjwa yalionekana eneo la Uwanja wa Ndege jijini Kazn, Urusi.
(Picha: Mirror News)
Watu 50 waliokuwa katika ndege aina ya Boeing 737 wamepoteza maisha baada ya ndege hiyo kulipuka wakati ikijaribu kutua jijini Kazan, Urusi ikitokea Moscow !.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: