BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS: BABA MZAZI WA MWANAMUZIKI WA INJILI AFARIKI DUNIA TABATA JIJINI DAR ES SALAAM.

http://tenzizarohoni.com/wp-content/themes/moviepress/thumbs/Bahati-Bukuku.jpg Msanii wa nyimbo za injili, Bahati Bukuku amefiwa baba yake mzazi Mzee Paul Bukuku baada kuugua kwa muda mrefu. 


Marehemu amefia katika Hospitali ya Kardinali iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam na msiba upo nyumbani kwa Bahati maeneo ya Tabata, jijini Dar es Salaam. 

Mwenyezi mungu awape moyo wa subri ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu cha maondokewa na mpendwa wetu, Amina. chanzo http://habari24.blogspot.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: