BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HIKI NDICHO KIBIBI KIZEE KILICHOVUTA SIGARA LAKI 5 HUKU KWA SIKU KIKIVUTA SIGARA 15, KINA UMRI WA MIAKA 100.

DOROTHY HOWEDorothy Howe.

SUSSEX, Uinngereza
BIKIZEE wa umri wa miaka 100 ameibuka na kusema kuwa amevuta sigara laki tano tangu akiwa msichana mdogo.



Dorothy Howe ambaye ni katibu muhtasi mstaafu kutoka Uingereza alisema alianza kuvuta sigara tangu akiwa na umri wa miaka 16 na tabia hiyo ameendelea nayo hadi leo.


Alisema kwa kuvuta kwake sigara ametumia pauni 193,000 (zaidi ya sh. milioni 400) ambapo pia hutumia pombe kali aina ya whisky katika maisha yake.


Alipoulizwa kama ana mpango wa kuacha kuvuta sigara ajuza huyo alisema kuwa hataacha bali ataendelea na starehe yake hiyo hadi zipande bei.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: