BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HIKI NDICO KISA CHA MHE ZITTO KABWE NA KITILA MKUMBO WAONDOLEWA VYEO VYOTE NDANI YA UONGOZI CHADEMA.

WANA - BONGOAFRIKA,.... KWA TAARIFA ZA UHAKIKA KUTOKA CC YA CHADEMA ILIYOMALIZIAKA MIDA HII YA ALFAJIRI WAMEPIGA KURA NA KUAMUA KUWASIAMAMISHA UONGOZI VIONGOZI HAWA.

WEEK KADHAA ZILIZOPITA MTU ANAEITWA KENGEDUME ALIWEKA REPORT KWENYE JF AKIELEZA NJAMA ZA MBOWE NA KUNDI LAKE KUFANYA KIKAO KWAKE WAKIPANGA MBINU ZA KUMCHUKULIA HATUA ZA HILA ZITTO.

SASA HUYU KENGE DUME KUMBE NIANZE MIMIKUWA WA KWANZA KUAMINI TAARIFA ATOAZO, PIA KUNA TAARIFA YA CHADEMA KUJITEKA YAWEZEKANA ZOTE NI KWELI.
Taarifa ya KENGE DUME iko hapo chini.


By KENGE DUME, JF.
ZITTO KUNG'OLEWA UNAIBU KATIBU MKUU.
Kikao kilifanyika nyumbani kwa Mbowe katikati ya mwezi october kilihudhuriwa na LEMA, MNYIKA, WENJE, MSIGWA, SUGU NA BAUNSA AITWAYE SWAI na KIJANA WA KICHAGA WALIYEMUITA KAMANDA.

Mbowe aliwafokea wabunge hao kuwa wamelala kijinga wanamwacha Zitto anawakalia vichwani kama wake zake,


Lema aliinuka akiwa na kinywaji mkononi akaongea kwa hasira sana na kutoa maneno mabaya Zitto kwa kusema kuwa ''huyu mtoto wa mlemavu tena mtoto wa kubahatisha yuko peke yake kwa mama yake, halafu analeta ubavu wa kujipima na watu tuliokulia mashimoni mererani''
Akatoa maneno mengi makali yenye hasira na kuahidi kumnyamazisha mara moja tena kwa aibu kubwa,

Mbowe akauliza ni namna gani itakayotumika kummaliza zitto,
Lema akatetwa tena kwa kusema mie lengo langu asigombee nafasi kabisa, tena apigwe pin mapema kabla ya michakato ya uchaguzi kuanza,
Lema akaahidi kumchokoza kwa mbinu yoyote ili ajibu kwa hasira kutakakomsababisha kuwashutumu viongozi wa taifa kuwa wanahusika.


Akishawataja viongozi wa taifa hapo Dr Slaa ataambiwa aitishe cc ya chama ili wajadili hilo swala, ili ifikie hatua ya mmoja wao kupendekeza zitto kusimamishwa uongozi,


Wenje akahoji ni kwa namna gani mbowe ataweza kuwazidi hoja akina beregu na prof. safari na mkumbo,


Mbowe akajibu kwa kejeli sana kuwa wajumbe wa kamati kuu ni uteuzi wake kwa 40% sasa na hata hivyo watajadili na mwisho wa mjadala kura zitaamua, akasisitiza kuwa yeye anatafuta namna ya kuletwa mjadala huo kwenye cc tu,


Mnyika alikuwa kimya kwa muda mrefu lakini ilipofikia hatua hiyo alitoa ushauri mwingine kuwa ili kuepuka chama kusionekane na taswira ya ajabu ni lazima ateuliwe naibu katibu mkuu toka kigoma pia baada ya kumsimamisha zitto,
Ushauri huo ulipingwa sana na Lema akitaka unaibu katibu mkuu apewe mtu wa mbeya, alitoa sababu kuwa watu wa kigoma huwa hawatupani kabisa mwisho wa siku atatusaliti na kumtetea zitto,


Mnyika aaliishiwa amani na kuomba ruksa kuwa mama yake mzazi amempigia simu akimhitaji nyumbani na aliondoka majira ya saa5 usiku,


Lema aliponda sana kuwa mnyika ni sinichi wa hali ya juu mwenye kuuma na kupuliza issue ambayo wenje aliunga mkono kuwa mnyika anajipendekeza sana kwa mbowe na slaa na kuwachongea wenzake kuwa hawana uwezo wa kutumikia kurugenzi za makao makuu,


Mbowe alipendeza mbinu ya kwanza ya kumuangusha zitto ni kuwapiga chini watu wanaonekana kuunga mkono au wenye misimamo inayolenga kubalisha uongozi wakimtaja mwigamba na kumpa lema kazi ya kumuondoa kabla ya november kazi ambayo ameimaliza tayari.


Mbowe alitoa mwelekeo wa kuanza kazi kanda ya ziwa, kisha kanda ya kati na kisha kanda ya magharibi kuhakikisha anaweka viongozi wa muda wenye makidhi yake ili watakapo msimamisha zitto na uongozi kusiwepo na tishio la chama kugawanyika kwani watakaottoa matamko ni viongzoi wa muda sio walioondolewa,

Mbowe kwa sasa amefanikiwa kumsimika Kasulumbayi kwa njia haramu, mbowe alipofika shinyanga alimwamuru mzee kasulumbayi akusanye watu kwenye vyuo akampa pesa ya kukodi basi wale wajumbe feki wakapewa uongozi wa hewa wa wilaya ili wafanye uchaguzi feki pia,


Mbowe anaendelea pia kufanya utafit w viongozi wenye mitazamo ya kubadili uongozi wa chama ili awashugulikie,


MPANGO HUU ULIPANGWA KISHAMBA SANA KWANI MAPAKA SASA ZITTO HAJANASA KWENYE MTEGO HUO KILA MUDA WANAJARIBU KUTAFUTA NAMNA YA KUMTAKA AROPOKE BUT KAPIGA KIMYA
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: