Hitmaker wa ‘Mapozi’ Mr. Blue aka Kabayser anatafutwa na polisi wa
Kenya. Msanii huyo anatafutwa kwa shutuma za kushindwa kutokea kwenye
show aliyokuwa amesaini mkataba huko Mombasa, Kenya. Mr. Blue alikuwa
anatakiwa kutumbuiza kwenye maeneo ya Office Restaurant, Likoni na
Mariakani Jubilant Hotel, November 16 na 17.
Kenya. Msanii huyo anatafutwa kwa shutuma za kushindwa kutokea kwenye
show aliyokuwa amesaini mkataba huko Mombasa, Kenya. Mr. Blue alikuwa
anatakiwa kutumbuiza kwenye maeneo ya Office Restaurant, Likoni na
Mariakani Jubilant Hotel, November 16 na 17.
Mratibu wa show hiyo, Sammy Ondwar Onyango, aliamua kwenda kushtaki
polisi sababu anadai alikuwa ameshamlipa msanii huyo sehemu ya malipo
waliyokuwa wamekubaliana.SOMA ZAIDI
polisi sababu anadai alikuwa ameshamlipa msanii huyo sehemu ya malipo
waliyokuwa wamekubaliana.SOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment