BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MSHINDI WA SHINDANO LA CHOMOKA NA MWANANCHI AONDOKA NA SH1 MILIONI MOROGORO.



Meneja Mauzo wa kampuni ya mwananchi mkoa wa Morogoro, Andrew Mpasa kulia na mwandishi wa gazeti la Mwananchi Morogoro, Habiba Yahya kushoto wakimkabidhi Ismail Ngayaula hundi ya sh1 milioni katika ofisi za kampuni hiyo baada ya kushinda katika shindano la chomoka na mwananchi mkoa wa Morogoro.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: