RAIS KIKWETE.
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, mkoani Arusha, Bw. Edward Lowassa, ameisifu Serikali ya Awamu ya Nne na kudai ndiyo iliyotekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kiwango kikubwa sana kuliko awamu nyingine zilizopita.


0 comments:
Post a Comment