BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SNURA APATWA NA MSIBA, AFIWA NA NA KAKA YAKE YUSUPH MUSHI BAADA YA KUPIGWA NA RADI AKIWA SHAMBANI MLANDIZI MKOANI PWANI.

R35A4012 copy 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Snura Mushi amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa nae anayejulikana kwa jina la Yusufu ambaye ni kaka yake wa kwanza kuzaliwa kwa marehemu baba yake Mzee Mushi. 


Msiba huo umetokea Mlandizi baada ya kupigwa na radi kali jana asubuhi wakati marehemu akiwa shambani kwake Mlandizi. 

SNURA akiongea na blog hii amesema wanazika leo huko huko Mlandizi muda wa saa kumi jioni. 

Mungu alaze roho ya maehemu YUSUFU MUSHI mahala pema peponi. AMIN
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: