BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAZIRI MKUU ATIMULIWA BUNGENI.

I give because I love.BUNGE la Italia limemtimua Silvio Berlusconi aliyehudumu kwa mihula mitatu kama Waziri Mkuu lakini tajiri huyo ameapa kuendelea na siasa.


Seneti ilipiga kura wiki hii kumuondoa katika bunge kwa sababu ya kushitakiwa kwa makosa ya kodi.

Berlusconi alihutubia wafuasi wake Jumatano nje ya nyumba yake Romani Palazzo akiwaambia kuwa ni siku ya kuhuzunikia demokrasia  lakini akawasihi kuendelea kuitetea demokrasia.voaswahili.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: