BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WIMBO WA MAYOWE REMIX WAMFANYA AFANDE SELE KUWAKUMBUKA BABU SEYA NA PAPII KOCHA.

AFANDE SELE amesema kuwa huwa anawakumbuka na naamini kabisa muda si Mrefu watakua huru Mzee Nguza na mwanaye
Papii Kocha.
 
SELE anasema kuwa wakati anafanya album yake ya kwanza ya (Mkuki Moyoni) zaidi ya miaka kumi iliyopita kuna ile track ya MAYOWE REMIX ilipigwa live band ingawa MAJANI alipiga kick.
 
Lakini BASE & SOLO GUITAR alicharaza MZEE NGUZA (babu seya) mwenyewe na kuwa ukisikiliza vyema ile kazi hiyo utasikia kila chombo kwa wakati wake ikiwa imechangiwa na ustadi wa Mzee Nguza zaidi, mtoto wake ambae ni PAPII KOCHA aliyefanya chorus ilikua vibe sana nakumbuka siku ile pale BONGO RECORDS. 
 
Wakati huu ambao anakaribia kutimiza miako kumi ya KING OF RHYMES i wish wangekuwepo wangefanya kitu.
 
MFUNGWA, MFUNGWA NI NANI ? IMAM, RAIS. ASKOFU, MWALIMU, HAKIMU, JAJI, MASIKIN, TAJIRI, MCHUNGAJI anaweza kuwa mfungwa.
 
MUNGU ni muweza wa yote na hashindwi na chochote anaamini kabisa watakuwa pamoja uraiani siku moja na kuongeza kuwa anawapenda na kuwaombea na maelfu ya Watanzania wako pamoja nao. alisema Afande Sele.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: