BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ZANZIBAR YAADHIMISHO YA SIKU YA KISUKARI DUNIANI.

01Mwenyekiti wa Klabu ya Obama Group Dkt. Mwena Issa Omar aliyevaa miwani na Meneja wa Kitengo cha maradhi yasiyoambukiza Zanzibar (NCD) Omar Mwalim Omar wakiongoza mandamano katika madhimisho ya siku ya Kisukari Duniani,yaliofanyika viwanja cha Maisara Mjini Zanzibar.
03Kiongozi wa mazoezi kutoka Klabu ya Obama Group Fatawi Haji Mussa akiongoza mazoezi kutoka Vilabu mbalimbali vya Mjini Zanzibar katika madhimisho ya siku ya Kisukari Duniani,yaliofanyika viwanja cha Maisara Mjini Zanzibar.05Wasani wa Kikundi cha Black Roots wakiongozwa na Makombora wakionyesha igizo lenye ujumbe wa athari za ulaji wa halua na uvutaji sigara kwa wagonjwa wa Kisukari katika madhimisho ya siku ya Kisukari Duniani ambapo kwa Zanzibar yalifanyika Maisara Mjini Zanzibar.06Waziri wa Afya Juma Duni Haji akiwahutubia wananchi katika madhimisho ya siku ya Kisukari Duniani iliofanyika viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar.(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Share on Google Plus

About Anonymous

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: