BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BASI LA UKINGA EXPRESS LAPATA AJALI WILAYA YA MAKETE.


Muonekano wa basi la Ukinga Express lenye namba za usajili T 522 CCK kama linavyoonekana mara baada ya kupata ajali usiku wa kuamkia leo eneo la Lwamadovela kata ya Tandala wilayani Makete.

Fuso iliyogongwa kwa nyuma na basi la Ukinga Express


basi la Ukinga express linavyoonekana kwa nyuma


mashuhuda wakiangalia basi hilo lilivyoumia baada ya kugonga fuso kwa nyuma





Wajuze wenzako habari hii :
Credit: edwinmoshi.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: