
“Vijana wangu hebu sogeeni hapa mbele kabisa ya jukwaa mkae hapa, kaeni hapa niwaone na nisome mlichoandika maana huko sioni mabango yenu yameandikwa nini,” alisema Dk. Slaa huku vijana hao wakitii amri hiyo.
“Najua watu wengi mlishangaa nilipowazuia wale polisi wangu wasiendelee kuwazuia hawa wasije hapa mkutanoni na wasichane mabango yao.
“Haya mambo tulijua kuwa yangelikuwepo. Hayatusumbui kabisa. Naomba wananchi wangu kama mlivyoshangilia muwasikitikie tu hawa vijana maana hawajui wanachokifanya. Hebu ngoja niwaulize vijana wangu.”
“Chama hiki ni cha kidemokrasia, wala wasiwapatie taabu. Tunajua kuwa hayo yapo,” alisema Dk. Slaa.
huyu ndo rais mtarajiwaamejaa busara sana.
0 comments:
Post a Comment