DESEMBA 21:Wateja wa benki ya nbc Manispaa ya Morogoro wakiwa kwenye foleni ndefu ya kuchukua fedha katika mashine za ATM makao ya benki hiyo baada ya baadhi ya mashine za beki hiyo kukumbwa na hitilafu za kiufundi na kuleta usumbufu kwa wateja wake mkoani Morogoro.PHOTO/MTANDA BLOG
DESEMBA 21:Kijana
mkazi wa Manispaa ya Morogoro akiwa amebeba madumu tupu wakati akisaka
kituo chenye mafuta kwa ajili kuendeshea mitambo na matumizi mengi baada
ya kupewa kazi hiyo na mwaajili wake ambako wakazi wa maeneo ya
vijijini wamekuwa wakitumia nishati hiyo katika matumizi ya mashine za
kusaga nafaka na koroboi kwa ajili ya kupata mwanga katika nyumbani zao
kutokana na sehemu kubwa kukosa huduma ya umeme mkoani Morogoro.PHOTO/MTANDA BLOG
DESEMBA 11:Treni ya abiria likiwa limekwama katika stesheni ya Morogoro kwa abiria kukaa kwa zaidi ya saa moja kufuatia treni hiyo kushindwa kuendelea na safari kulikotokana na treni hiyo kushindwa kupandisha kilima cha Kwamnyonge mara tatu mkoani Morogoro.PHOTOS/MTANDA BLOG
Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
0 comments:
Post a Comment