BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DK SHEIN ATANGAZA NEEMA KWA WAFANYAKAZI WA TANZANIA KUPITIA SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR LEO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ametangaza kesho ni siku ya mapumziko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Dr. Shein alitangaza baada ya kunong'onezana na Rais Jakaya Kikwete na wote kukubaliana itakuwa ni sikuu ya Mapinduzi nchi nzima. Hayo yalitokea katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: