BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

INAPOFIKIA WAKATI WA FURAHA NA HUZUNI KATIKA CHUNGU KIMOJA NINI KITATOKEA NDANI YA CHADEMA ?.

KABWE AIBUKA KIDEDEA NA KUIBWAGA CHADEMA MAHAKAMAN, TUNDU LISSU AMPA MKONO NDANI YA MAHAKAMA KUU, JE MWANASHERIA WA CHADEMA AMEONYESHA UPENDO WA KWELI KWA KABWE (FEAR PLAY) ILE INATOTUMIKA KATIKA MCHEZO WA SOKA ?, TUSUBIRI TUONE NINI KITATOKEA KWA MHE ZITTO KABWE NDANI YA CHADEMA.

Zitto akitoka kwa msaada wa mabaunsa wake katika chumba cha mahakama kuu baada ya uamuzi huo wa Mahakama kuu leo jioni.
Tundu Lisu na wapambe wake wakionekana kutoka kwa aibu Mahakamani baada ya kubwagwa

HONGERA: Wakili wa CHADEMA Tundu Lisu (kulia) akilazimika kumpongeza aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe baada ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, John Mkamwa, kuridhia zuio la Zitto asijadiliwe na ngazi yoyote ya maamuzi ya Chadema, hadi kesi ya msingi aliyofungua dhidi ya chama hicho itakapomalizika. Jaji huyo amekubali kesi ya msingi iungurume na itaanza kusikilizwa Februari 13, mwaka huu. (PICHA NA THENKOROMOBLOG)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: