BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!!!! MAGARI MATATU YAPATA AJALI BWAWANI NA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA NA MAJERUHI 38.


DEREVA wa lori la mafuta, Ally Hassan Ngoma (62) mkazi wa Korogwe amefariki dunia papo hapo baada ya kutokea ajali iliyohusisha gari tatu ikiwemo basi ndogo, lori na basi kubwa kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 38 katika ajali iliyotokea eneo la Bwawani majira ya saa 4:30 asubuhi mkoani Pwani. PHOTO/MTANDA BLOG


Sehemu basi likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali hiyo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: