BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEW'S: MUONGOZAJI WA BONGO MOVIES AFARIKI DUNIA HAFLA BAADA YA KUANGUKA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM.

 
Adam Kuambiana.
Chanzo cha habari kimeripotia kwamba msanii Adam Kuambiana amefariki leo muda mchache uliopita baada ya kuanguka ghafla wakati akiwa location akiwajibika katika shughuli zake za sanaa na kuwahishwa haraka katika hospitali ya Maria Stopas ilioko Sinza Afrika Sana jijini Dar es Salaam.



Umauti ulipomkuta, Taarifa zaidi kuhusu msiba huu endelea kufatilia hapa.Chanzo website masainyotambofu.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: