BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA YAWAPIGA MSASA WAFANYAKAZI WA TAASISI TATU WANAOKARIBIA KUSTAAFU MOROGORO.




Mkurugenzi Mtendaji wa Uwekezaji Tanzania Charles Senkondo akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo ya wafanyakazi wanaokaribia kustaafu kazi kutoka taasisi za serikali za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Wakala wa majengo Tanzania (TBA) na TTSA Morogoro ikihusisha washiriki 25 inayoendelea kufanyika mkoani Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG.

Mkurugenzi wa masoko na mahusiano Daud Mbaga Kutoka Dhamana ya Uwekezaji Tanzania akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo ya wafanyakazi wanaokaribia kustaafu kazi kutoka taasisi za serikali za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Wakala wa majengo Tanzania (TBA) na TTSA Morogoro ikihusisha washiriki 25 inayoendelea kufanyika mkoani Morogoro. PICHA/MTANDA BLOG.
 


Sehemu ya washiriki wa mafunzo ya wafanyakazi wanaokaribia kustaafu kazi kutoka taasisi za serikali za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Wakala wa majengo Tanzania (TBA) na TTSA Morogoro ikihusisha washiriki 25 inayoendelea kufanyika mkoani Morogoro. PICHA/MTANDA BLOG.

 


PICHA YA MAOJA MARA BAADA YA KUMALIZIKA KWA MAFUNZO HAYO LEO MOROGORO HOTELI.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: