BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

REAL MADRID YACHUKUA MSHAMBULIAJI WA COLOMBIA AMBAYE ALING'ARA KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014.

James Rodriguez akiwa katika vipimo vya afya Real Madrid.
rodr
Real Madrid wamekamilisha usajili wa mshindi wa kiatu cha dhahabu katika michuano ya World cup ndani ya Brazil 2014. James Rodriguez

mshambuliaji  kutoka Colombia ana umri wa miaka 23 na amesaini mkataba wa miaka sita na Real Madrid akitokea club ya  Monaco.


Ripoti zinasema gharama ya uamisho ni pauni milioni 63 na kumfanya mchezaji wa nne wa uhamisho wa gharama akiwa nyuma ya Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.


Kama umesahau ni kwamba Rodriguez alifunga magoli sita katika mechi tano za world cup hadi kuifikisha timu yake ilipofika katika robo fainali.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: