BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!!. MWILI WA MLEMAVU WA NGOZI (ALBINO) WAKUTWA UMETUPWA SHAMBA LA MIWA SEGEREA-KINYEREZI UKIWA UMENYOFOLEWA MACHO JIJINI DAR ES SALAAM.


Sehemu ya umati wa wananchi wakifuatilia tukio hilo.


Mtu mmoja mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) ameuawawa na watu waliojulikana kisha mwili wake kutelekezwa katika mashamba ya miwa jijini Dar es Salaam.



KUTOKANA NA MAADILI TUMESHINDWA KUONYESHA PICHA ZA MAITI ZA TUKIO HILO.

Mwili huo ulitupwa eneo la Segerea Kinyelezi ambapo watoto waliokuwa wakikata miwa kuona mwili huo ukiwa umeharibika huku umekatwa shingo na kung'olewa macho yote mawili.

Kwa taarifa zaidi endelea kutembelea hapa mara kwa mara kujua kinachojiri.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: