BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JAJA AWAFANYA MASHABIKI WA YANGA KUKENUA MENO KATIKA MCHEZO WA NGAO YA JAMII DHIDI YA AZAM FC JIJINI DAR ES SALAAM.

JAJA APIGA MBILI YANGA IKIITANDIKA AZAM FC 3-0, NGAO YA JAMII YAENDA JANGWANI TENA

Kocha Marcio Maximo akimpongeza Genilson Santana 'Jaja' baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Azam FC mechi ya Ngao ya Jamii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Bao lingine lilifungwa na Simon Msuva.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: