BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MADEREVA WATII SHERIA BILA SHURUTI ILI KUNUSURU MAISHA YA MWEHU WASIMGONGE, BAADA YA KULALA BARABARANI MANISPAA YA MOROGORO.

 
Dereva wa daladala inayofanya kazi ya kusafirisha abiria kati ya Kihonda na mjini Manispaa ya Morogoro akimwangalia kijana aliyeamua kulala katikati ya barabara ya Korogwe jirani na benki ya barclays jambo ambalo liliwafanya madereva kusimama kisha kumwondoa ili wapate nafasi ya kupite, hata hivyo haikuweza kufahamikama mara moja kama kijana huyo ana mapungufu ya akili ama laa.PICHA/MTANDA BLOG

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: