BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MWANAMKE AANGUA KILIO MBELE YA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI, KISA MIPANGO YA KUDHURUMIWA KIWANJA CHAKE IKO....!!!.


Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Abdullaziz Abood kulia akiondoka katika kiwanja plot no 121 kinachodaiwa kumilikiwa na Zaituni Jenela (62) anayedaiwa kudhurumiwa na mmoja wa maafisa wa Manispaa ya Morogoro na kupatiwa mtu mwingi eneo la kando ya barabara kuu ya Dae es Salaam Morogoro kata ya Kichangani Morogoro, kushoto ni mjumbe wa baraza la bakwata mkoa wa Morogoro, Rajabu Sekilindo. PICHA/MTANDA BLOG



Mkazi wa Manispaa ya Morogoro Zaituni Jenela (62) akimlalamikia jambo mbunge wa jimbo la Morogoro mjini AbdullazizAbood juu ya kudhurumiwa kiwanja chake kisha kumpatia mtu mwingine eneo plon no 121 Morogoro. PICHA/MTANDA BLOG.



Tukio hilo lilijitokeza hivi karibu kwa mkazi huo kuangua kilio cha kuomwomba mbunge kumsaidia ili kuweza kupata kiwanja chake kinachoonekana kina mwelekeo wa kudhurumiwa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: