BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MSANII DIAMOND PLATNUMZ APATA MAPOKEZI MAKUBWA WAKATI AKITOKEA AFRIKA YA KUSINI BAADA YA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHANEL O.

 

Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Es Salaam na tuzo tatu. 

MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini leo akitokea katika nchi ya Afrika Kusini alipokwenda kushiriki katika zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alibahatika kupata tuzo tatu kwa mpigo. 

 
Tuzo hizo alizoshindwa ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: